Skip to main content

Poem Of The Day

            Life Maker

Dream comes forth times
Flashes upon my eyes fresh
What next. Last episodes
Majorities satisfied
Streets no foes nor notorious
Before The Male Fox life was Sweet

I dream money in hard time
Vacancies minoritie's fear
"We enough" their slogan
My degree is a grave pot
Would we yell like Canaanites?
Asks multitudes

Trading brings no values
VAT highest,
Politics colonize economics
Work! work! Work!
For National benefits.
"We leaders" their slogan.

Remember what you told us in first feast
“You are a Lion but never eat meat”
Now, who to enjoy hidden meat
Or "Akiba haiozi" you will enjoy after feast?

                  barakangeleja@yahoo.com
                   All rights reserved@2016.
                            

Popular posts from this blog

Curriculum Vitae (C. V)

Jana nilifika katika kituo kimoja cha afya na katika Harakati za hapaaaa na pale, nikiwa nimekaa kwenye benchi ili nipumzike kidogo. Nikiwa pale wakatokea wauguzi wawili nao wakakaa karibu yangu na wakaanza kuzungumza. Mmoja akamwambia mwenzake juu ya changamoto za ajira na jinsi alivyojitahidi kutafuta nafasi hata za kujitolea bila kufanikiwa, na yule mwenzake nae akamwambia jinsi alivyopambana mpaka kupata nafasi hiyo japo wanalipwa ila bado ni posho kidogo sana. Sasa, katika mazungumzo yao mwanzoni hayakunihusu japokuwa niliyasikiliza Si unajua tena sikio halina mlango lakini walifikia kipindi wakanishirikisha kwa namna moja ama nyingine hasa walipoanza kujadili vikwazo walivyokutana navyo. Ni vikwazo vingi ila hivi viwili vitakuhusu hata wewe pia. Wakisema cha kwanza ni kuandika barua ya kuomba ajira ama kujitolea na ilitakuwa iandikwe kwa lugha ya kiigereza na kingine ni kuandaa wasifu binafsi (c.v) inayoonesha mtiririko mzuri wa taarifa zako. Hapo sasa wakanishirikisha. Ngoja ...