Skip to main content

Posts

Showing posts from February 17, 2017

Curriculum Vitae (C.V)...... 2.

Katika sehemu ya kwanza tumeona maana ya wasifu binafsi ama C.V na tukaangalia sehemu muhimu inayoeleza Maelezo binafsi (Personal Particular). Tuendelee na sehemu zingine muhimu: 2. Educational Qualification/ Background ( Taarifa za Elimu ). Sehemu hii unapaswa kuandika taarifa zako za elimu tena kwa umakini sana. Hapa andika shule na vyuo vyote ambavyo umepata kusoma na kuhitimu. Unashauriwa kuandika kwa kuanza na Kiwango kikubwa cha elimu mpaka lile kidogo yaani lile kiwango ulichomalizia Mpaka ulichoanzia ambacho ni Primary Education au O-level Secondary education.  Kumbuka kuandika mwana na qualification ama kwa nina lingine certificate. Hapa ni sehemu muhimu sana inayotazamwa na mwajiri wako. Tuataona mfano hapo badae. 3. Work Experience ( Uzoefu kazini ). Unapotazama job vacant kwa asilimia mkubwa wanahitaji mtu mwenye uzoedu ili wamwajili. Ni kweli bila uzoefu hakuna kazi, hivyo wewe kama mwombaji ni lazima uwe makini kuandika sehemu hii ili usipoteze sifa yako. Ku...

Curriculum Vitae (C. V)

Jana nilifika katika kituo kimoja cha afya na katika Harakati za hapaaaa na pale, nikiwa nimekaa kwenye benchi ili nipumzike kidogo. Nikiwa pale wakatokea wauguzi wawili nao wakakaa karibu yangu na wakaanza kuzungumza. Mmoja akamwambia mwenzake juu ya changamoto za ajira na jinsi alivyojitahidi kutafuta nafasi hata za kujitolea bila kufanikiwa, na yule mwenzake nae akamwambia jinsi alivyopambana mpaka kupata nafasi hiyo japo wanalipwa ila bado ni posho kidogo sana. Sasa, katika mazungumzo yao mwanzoni hayakunihusu japokuwa niliyasikiliza Si unajua tena sikio halina mlango lakini walifikia kipindi wakanishirikisha kwa namna moja ama nyingine hasa walipoanza kujadili vikwazo walivyokutana navyo. Ni vikwazo vingi ila hivi viwili vitakuhusu hata wewe pia. Wakisema cha kwanza ni kuandika barua ya kuomba ajira ama kujitolea na ilitakuwa iandikwe kwa lugha ya kiigereza na kingine ni kuandaa wasifu binafsi (c.v) inayoonesha mtiririko mzuri wa taarifa zako. Hapo sasa wakanishirikisha. Ngoja ...