Skip to main content

Posts

Showing posts from February 16, 2017

Waandishi na Uandishi.. 2.

Sehemu iliyopita tuliona utangulizi mfupi wa uandishi wa kazi za fasihi na jinsi ambavyo mwandishi alivyoonekana na anavyostahili kuonekana. Ebu Leo tuendelee na sifa za mwandishi anayeendana na Wakati katika kazi yake. Kama tujuavyo, uandishi wa kazi za fasihi ni taaluma kama zilivyo taaluma nyingine hivyo, mwandishi anapaswa kutambua kwamba taaluma hii haihitaji mchezo . Umakini katika uandishi ndiyo utakuongezea umaarufu ama kukupunguzia, zifuatazo ni sifa baadhi tu ambazo mwandishi anastahili kuwa nazo: 1. Mwandishi anapaswa kuwa ni yule anayeiandikia Jamii anayoifahamu, iwapo utaandika kazi pasipo kuzingatia Jamii yako ama Jamii elekezi basi kazi yako itakosa wasomaji na utapoteza sifa hii ya kuitwa mwandishi 2. Mwandishi ni lazima awe angalau na elimu juu ya uandishi wa kazi za fasihi, ni sifa muhimu sana. Elimu ya uandishi wa kazi za fasihi utakufanya ujue namba ya kupangilia visa na matukio hata Kama ni ya kawaida kiasi gani bado yataonekana ni mkubwa na yakuvutia kwa waso...

African beauties.....

         AFRICAN BEAUTIES; AM SORRY. She uses cream Lotion of her body choice Supported with annoys perfume Stretch face to as white people Lost white being nor black African beauties; Am sorry. Hair should be long Like that of kardashian Kim Buy and cut yours Fakes makes finest Eyelish cutoff Put from U.S Nails are fakes Be like celebrity figure African beauties; Am sorry She dare to change a motion Walk as Rihhana as girrafe Think African women Walk like chimpanzees. She don't eat natural food Will erose her stomach Soft drinks call sweet African beauties; Am sorry Use English tongue Swahili words pronounced poorly Language colonize her mind Foolish. She wear to shape a body Never hide beautiful body Trousers or miniskirts Just few she likes much African beauties do you mind? African beauties; Am sorry She listen only English musics Traditional drums bored much They don't use trumpet and guitor Other instrume...

Tangazo.

Kama wewe ni mdau wa fasihi ama ni mtunzi wa kazi ya fasihi usisite kuwasiliana nami kwa kukoment kwenye moja ya post zetu,,, Fasihi ni yetu.

Poem Of The Day

            Life Maker Dream comes forth times Flashes upon my eyes fresh What next. Last episodes Majorities satisfied Streets no foes nor notorious Before The Male Fox life was Sweet I dream money in hard time Vacancies minoritie's fear "We enough" their slogan My degree is a grave pot Would we yell like Canaanites? Asks multitudes Trading brings no values VAT highest, Politics colonize economics Work! work! Work! For National benefits. "We leaders" their slogan. Remember what you told us in first feast “You are a Lion but never eat meat” Now, who to enjoy hidden meat Or "Akiba haiozi" you will enjoy after feast?                   barakangeleja@yahoo.com                    All rights reserved@2016.    ...

Waandishi na Uandishi

Inasemekana kwamba Tanzania hakuna maandiko mapya!!! Kauli hii inamaanisha kuwa Tanzania hakuna waandishi ambao wanaandika yale mambo yanayoigusa jamii kwa kuzingatia muktadha wa sasa ( current situation). Inaweza kukustua kama nikisema kwamba Tanzania waandishi wengi hujali hisia zao na sio hisia za wasomaji. Sawa, kwa mujibu wa waandishi hasa kutoka Uyunani na Latin kama akina Plato na wenzake wanaamini hivyo ila kutokana na mabadiliko ya kijamii lazima tubadilike kwa kuzingatia nafasi ya uandishi katika jamii husika. Kwa mfano, mwandishi ataweza kuandika kitabu, poem au jarida kwa kuangalia kitu ambacho ni mjadala katika jamii yake kwa Wakati huo na kazi yake ikavutia wengi kuliko kuandika kitu ambavyo kilitokea miaka kadhaa iliyopita. Yapo mambo mengi ya kuzingatia unapoanza kuandika kazi zako ili upate mawanda mapana ya wasomaji. Maana uandishi ni tofauti na sanaa zingine ambazo huweza kuhusisha utazamaji, uandishi ni usomaji . Zifuatazo ni sifa muhimu za mwandishi anayeendana...

Hadithi nzuri ya kusisimua.

Ile hadithi nzuri ya kusisimua iitwayo- Neema: "Nisamehe mama" sasa nitaanza kuichapisha katika blog hii ili kila moja aweze kuisoma. Hadithi hii imejaa mafundisho ambayo ni muhimu katika jamii na inaweza kusomwa na watoto mpaka watu wazima. Itachapishwa rasmi wiki ijayo . Karibuni .

Poem of the day.

         Fingerprint You leave a mark Within my heart pact I was a man luck Now a wondered bat No can find like you Not natural beauty your heart new Now all love I lost for you Neo-blind I, is your tears curse me? So longer I live with my boo Your face reflects on mine too.