Inasemekana kwamba Tanzania hakuna maandiko mapya!!! Kauli hii inamaanisha kuwa Tanzania hakuna waandishi ambao wanaandika yale mambo yanayoigusa jamii kwa kuzingatia muktadha wa sasa ( current situation). Inaweza kukustua kama nikisema kwamba Tanzania waandishi wengi hujali hisia zao na sio hisia za wasomaji. Sawa, kwa mujibu wa waandishi hasa kutoka Uyunani na Latin kama akina Plato na wenzake wanaamini hivyo ila kutokana na mabadiliko ya kijamii lazima tubadilike kwa kuzingatia nafasi ya uandishi katika jamii husika.
Kwa mfano, mwandishi ataweza kuandika kitabu, poem au jarida kwa kuangalia kitu ambacho ni mjadala katika jamii yake kwa Wakati huo na kazi yake ikavutia wengi kuliko kuandika kitu ambavyo kilitokea miaka kadhaa iliyopita.
Yapo mambo mengi ya kuzingatia unapoanza kuandika kazi zako ili upate mawanda mapana ya wasomaji. Maana uandishi ni tofauti na sanaa zingine ambazo huweza kuhusisha utazamaji, uandishi ni usomaji.
Zifuatazo ni sifa muhimu za mwandishi anayeendana na wakati katika jamii yake:
Itaendelea..........
Ushauri: 0756775148.